Monday, December 22, 2008

AILEEN

star wa filamu wa kifilipino ambaye ameingarisha filamu ya from china with love akitumia jina la aileen, fanya mpango uipige jicho halafu rejea hapa umwage maoni.

10 comments:

  1. huyo dada nimemfagilia anavyoigiza lakini ray bado.apunguze kupiga makelele kwenye ukali anapiga kelele kwenye upole pia kelele ajirekebishe kwa staili aliyokuwa nayo.

    ReplyDelete
  2. Mbona umepotea bloguni dada yetu?

    ReplyDelete
  3. Habari Joyce! pls email me nina shida ya kujua uliponunua shela ya harusi ila sijui nitakupata wapi...kemmyrevy@yahoo.com if u dont mind pls mamy thanks!!!!!

    ReplyDelete
  4. Naitwa LISUNGU KAMBONA nafikiri staring alikuwa ni yule pastor aliyekuwa akisari mara ya mwisho kwa sababu naona yeye ndiyeprotagonist kama sikosei maana nimesoma mabo ya filamu kipindi nipo chuo yule pastor ndiye HERO kwasababu yule ndiye aliye fufua maovu nafikiri bado kuna matatizo kwa katika uandaaji wa filamu kwanini itengenzwe halafu watu washindwe kutambua na staring wa Fake Pastor Hata ray niliwahi kumtumia Element of Filming akunujibu kwani hata mavazi yanayotumika kwenye Filamu Rangi TAA rangi za nguo unajua filamu inawigo mpana dada jaribu kutafuta filamu ya Freedom Writers halafu uanaglie ninachokimaanisha
    mimi LISUNGU KAMBONA
    WA http://kambona.blogspot.com/

    ReplyDelete
  5. Filam ya maana ya sasa hivi ni"BAHARI YA DHAMBI" Je Mmeiona jamani?

    ReplyDelete
  6. yaani hii filamu ya from china with love sio siri c'elewi walikuwa wanafanya nini ila hyu dada wa kifilipino ameigiza vizuri na nimependa ila hawa wenzetu mmh balaa tupu

    ReplyDelete
  7. acha hizo we upend culture yako eehh

    ReplyDelete
  8. wameiga from paris with love
    wabongo mnapenda kuiga sana siku mkifunguliwa mashtaka sidhan ka mtaweza kulipia

    ReplyDelete
  9. samahani dada eti unaweza ukaniamba wale waliogiza kwenye paradise, cikumbuki lkn alikuwa nico, aimar nilikuwa naomba website yaho

    ReplyDelete
  10. wasanii wa bongo mnajua kuiga na kwa sana mie nawafagilia kwa jinsi mnavyozipamba filamu zenu kwa lugha iliyobobea na style ya kueleweka,zaidi na zaidi nawapa pongezi

    ReplyDelete